Meya wa jiji la Arusha Kalisti Lazaro aunga mkono utumbuaji wa rais John Pombe Magufuli.

In Kitaifa

Meya wa jiji la Arusha Kalisti Lazaro ameunga mkono utumbuaji wa rais John Pombe Magufuli na kutaka rais huyo kuwashughulikia viongozi wa awamu ya tatu na ya nne kwa uzembe wa kukubali mchanga wa dhaabu kuuzwa nje kama njugu na kusababishia taifa hasara ya mabilioni ya fedha.

Akizungumza katika baraza la madiwani Meya Kalisti amesema haiwezekani makatibu wa wizara ya nishati wakaachwa pamoja na viongozi wao wakati waliruhusu uvujaji wa mabilioni katika upakiaji wa mchanga kusafirishwa nje.

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu