Mke wa Justin beiber, Hailey beiber, amesema anadhamiria
kumfungulia kesi daktari wa plastic surgery, ambae anadai kuwa amemtengeneza uso.
So siku kadhaa katika mtandao wa twitter mwana dada huyu, alijkuta akishambuliwa na
watu kwamba uzuri wake ni wa kutengeneza na kwamba alienda kwa daktari ili aweze
kumtengeneza sehemu za uso wake ambapo aliyakanusha madai haya,
Lakini daktari mmoj alikuja na kudai kwamba ni kweli amewahi kumfanyia upasuaji wa
kutengeneza uso, na hailey hajafurahishwa na hili kabisa, hivyo amesema anadhamiria
kufungua kesi ya ku sue, yaani kudai fidia, kwani huyu anamharibia brand yake na pia
anataka kutumia jina lake kujipatia wateja,