Mkuu wa Majeshi Mstaafu aanzisha kundi la Waasi Sudan Kusini.

In Kimataifa

Aliyekuwa Mkuu wa Majeshi Paul Malong ameanzisha vugu vugu jipya la kundi la waasi.

Hatua hii imekuja kipindi ambacho nchi hiyo imeanza kufanya mazungumzo mapya ya amani jijini Addis Ababa Ethiopia yanayolenga kufikia makubaliano ya kuachiliwa kwa Makamu wa Rais Riek Machar.

Machar amewekwa kizuizini nchini Afrika Kusini.

Kwa mujibu wa Malong kundi lake hilo la waasi litakuwa na kazi ya kurejesha demokrasia na maendeleo ambayo yamepotea nchini humo.

Malong anadai kuwa serikali ya sasa imekuwa makosa mengi ya rushwa na kuifilisi nchi hivyo anataka kubadili nchi hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu