MNADA WA ALMASI WDL WAZIDI KUPAMBA MOTO.

In Uchumi

Leo tarehe 20 Februari, 2020 mnada wa asilimia tano ya madini ya almasi kutoka katika Mgodi wa Williamson Diamond Limited (WDL) umeendelea kupamba moto baada ya wadau wengi wa madini kuendelea kujitokeza.

Akizungumza kupitia mahojiano maalum, Meneja wa Biashara ya Madini wa Tume ya Madini, George Kaseza amesema kuwa kumekuwepo na mwitikio mkubwa kwenye uwasilishaji wa zabuni mbalimbali katika kituo cha ununuzi wa madini cha Mwadui (Mwadui Buying Centre)

Mnada huo umeanza tangu tarehe 18 Februari, 2020 ambapo wanunuzi wadogo wa madini ya almasi wananunua madini hayo na kwenda kuuza kwa wauzaji wakubwa wa madini waliopo katika Soko la Kimataifa la Dhahabu na Almasi lililopo Shinyanga Mjini.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu