Mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel aomba itangazwe “hali ya dharura ya elimu” nchini Nigeria

In Kimataifa
Mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel Malala Yousafzai, jana aliomba itangazwe “hali ya dharura ya elimu” nchini Nigeria, wakati alipoitembelea nchi hiyo na kukutana na baadhi ya wasichana wa shule ya Chibok.
Mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 20 anayepigania elimu duniani kote alipendekeza maoni yake hayo wakati alipokutana na Makamu wa Rais Yemi Osinbajo mjini Abuja.
Nigeria ina watoto milioni 10.5 ambao hawapo shuleni – idadi kubwa zaidi ulimwenguni – na asilimia 60 ya idadi hiyo ni wasichana, kulingana na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa , UNICEF.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu