Mshtakiwa wa mauaji ya mfanyakazi wake wa Ndani, apandishwa kizimbani

In Kitaifa

Mshtakiwa wa mauaji ya mfanyakazi wake wa Ndani Mkami Shirima(30)Mkazi wa Sakina Arusha amefikishwa tena katika mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Arumeru akikabiliwa na shtaka la mauaji ya kukusudia.

Mtuhumiwa huyo aliyevuta hisia za wakazi wengi wa Jiji la Arusha waliokuwa mahakamani hapo kufuatilia kesi hiyo,alifikishwa mahakamani hapo akiwa chini ya ulinzi mkali wa Askari Magereza huku akiwa ameficha uso muda wote kwa kujifunika gubigubi na mtandio.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi April 8 mwaka huu kwa sababu ya upelelezi kutokamilika.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu