Msigwa: “Rais Samia hajaagiza wafungwa waachiwe”,

In Kitaifa

Mkurugenzi wa mawasiliano ya rais Ikulu,  Gerson Msigwa amewataka Watanzania kupuuza taarifa zilizorushwa na televisheni moja ya nchini Kenya kwamba Rais wa Tanzania,  Samia Suluhu ameagiza wafungwa kwa kisiasa nchini kuachiwa huru.

Msigwa ametoa ufafanuzi huo leo Ijumaa Mei 7,2021 muda kabla ya kuanza kwa mkutano wa Rais Samia na wazee wa Dar es Salaam unaofanyika katika ukumbi wa Mlimani City.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu