Mwigamba na wenzake wajiunga na CCM.

In Kitaifa, Siasa

Baadhi viongozi waliokuwa katika Chama cha ACT-Wazalendo wakiongozwa na Samson Mwigamba, leo wametangaza kujivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na CCM.

Uamuzi huo umetolewa leo na aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni na Uchaguzi Taifa ya Chama hicho Samson Mwigamba, ambaye alijihuzulu hivi karibuni na kubaki kuwa mwanachama wa kawaida.

Mwigamba amesema wameamua kuchukua uamuzi huo, kwa madai ya kuwa ameona kuna mambo ndani ya chama hicho hayaendi sawa.

Kama huwafahamu ni kina nani wengine na vyeo walivyokuwa navyo waliojivua uanachama wa ACT-Wazalendo na kujiunga CCM, hawa hapa wanatajwa na Samson Mwigamba.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu