Mwili wa Masogange wawasili Kijijini kwao Utengule.

In Burudani

Mwili wa Msanii Agnes Gerald Waya ‘Masogange’ umewasili nyumbani kwao katika Kijiji cha Utengule mkoani Mbeya tayari kwa mazishi.

Mara baada ya kuwasili kwa mwili huo, vijana wa Green Guard wa Chama cha Mapinduzi ndiyo walioubeba mwili huo kutoka ndani ya gari hadi ndani ya nyumba yao marehemu.

Wasanii mbalimbali wamemsindikiza mwenzao wakitokea jijini Dar Es Salaam.

Msanii huyo aliyefariki Ijumaa iliyopita na kuagwa jana kwenye viwanja vya LEADERS  Mazishi yanatarajiwa kufanyika mchana huu.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu