Ndege ya shirika la coastal aviation yaanguka tena.

In Kitaifa

Ndege ya Shirika la Coastal Aviation yaanguka. Inasadikiwa watu 11 wamefariki

Ndege imegonga mlima huko Empakai Ngorongoro ikielekea Serengeti, imeua abiria 11 akiwemo rubani mmoja, hii ni ndege ya pili kwa kampuni hiyo kuanguka ndani kipindi cha miezi miwili.

Ndege ya kwanza aina ya Cessna Grand Caravan 5-THR, ilianguka oktoba 25 2017.

Inasadikiwa waliokuwepo katika ndege hiyo ni Simeone Kombe, Nasibu Mfinanga, Gift Lema,Shatri Mfinanga na Mfalala Siyabonga

Pichani ni majina ya wanaosadikiwa kuwamo katika ndege hiyo.
#Radio5.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu