Muswada wa bima ya afya kwa wote watua Bungeni.

Baada ya kukwama mara 2 kujadiliwa katika Bunge Muswadawa sheria ya bima ya afya kwa wote,leo umesomwa kwa maraya

Read More...

Mikakati ya taifa itakayokuza uchumi wa kidigitali.

Serikali imetoa Rai kwa wataalamu na wabunifu wa TEHAMAhasa wanawake na Vijana,kuwa tauari kupokea Teknolojia mpyazinazoibuka kwa kasi na

Read More...

Rais Samia azungumza na wananchi wa Iramba.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt SamiaSuluhu Hassan,leo amehitimisha ziara yake katika mkoa waSingida,ambapo amezindua Mradi

Read More...

Madereva wa ITDA waaswa kufuata sheria za barabarani.

Mkuu wa Dawati la Elimu Usalama Barabarani KamishnaMsaidizi Michael Deleli,ameuagiza uongozi wa Chama chaMadereva Wasafirishaji Nje ya Tanzania ITDA

Read More...

Wanaomiliki silaha kinyume na sheria zimebaki siku 19 tu.

Jeshi la Polisi katika mkoa wa Simiyu,limetoa wito kwa walewote wanaomiliki silaha kinyume cha sheria,kuhakikisha kuwawanazisalimia silaha hizo ndani

Read More...

Wana kilindi waiangukia serikali ubovu wa barabara.

Wananchi wilayani Kilindi mkoani Tanga,wameiomba serikalikuharakisha mradi wa ujenzi wa barabara ya kiwango Cha lamikutoka Handeni hadi kiteto mkoani

Read More...

RC Chalamila atinga kituo cha Mwedokasi Kimara.

Ikiwa imepita siku moja tangu kuelezwa kwa adha ya usafiri wamabasi yaendayo kasi kituo cha Kimara jijini Dar es

Read More...

Mutafungwa atangaza oparesheni kali kwa wahalifu.

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza ACP WilbrodMutafungwa,amewataka wananchi kushirikiana na jeshi la polisikatika suala la ulinzi na

Read More...

Tanzania kufanya upandikizaji wa Ini baada ya miaka 2.

Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu,amesema kuwa baada yakipindi cha miaka 2 kutoka sasa,Tanzania itakuwa na uwezo wakufanya upandikizaji

Read More...

Jerry Slaa atoa siku 100 kwa watumishi wa ardhi.

Watumishi wa Ardhi nchini wamepewa siku 100 kuondoaurasimu katika ofisi zao, kutatua migogoro yote ya ardhi iliopokatika maeneo yao

Read More...

Mobile Sliding Menu