Neymar afanyiwa vipimo vya afya, aanza mazoezi kujiandaa na Kombe la Dunia.

In Michezo

Mshambuliaji nyota wa timu ya Taifa ya Brazil na PSG ya Ufaransa, Neymar Junior, amefanyiwa vipimo vya afya na tayari ameshaungana na wenzake mazoezini kujiandaa na michuano ya Kombe la Dunia huko Urusi.

Neymar alikuwa hayupo fiti tangu aumie katika mchezo wa ligi ya mabingwa Ulaya wakati PSG ilipokutana na Real Madrid kwenye hatua ya 16 bora.

Kuumia kwa Neymar kulizua hofu kama angekuwa na uwezekano wa kuwepo kwenye kikosi cha Brazil kitakachoshiriki michuano ya Kombe la Dunia kwa mwaka huu Russia.

Tayari mchezaji huyo ameshaanza mazoezi baada ya vipimo vya afya kusoma kuwa yupo fiti kwa ajili ya michuano hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu