Neymar arejea katika mji wa Barcelona.

In Kimataifa

 

Mshambuliaji wa klab ya PSG ya Ufaransa Neymar Jr, amerejea Barcelona na kujumuika na wachezaji kadhaa akiwemo Lionel Messi na Gerard Pique.

 

Neymar alikuwa jijini Barcelona nyumbani kwake, kusharekea siku ya kuzaliwa ya mwanaye Davi Lucca.

 

Wakati Neymar akiwa na Pique, Messi na Raktic kutoka FC Barcelona, saa moja baadaye klabu hiyo imetangaza kumshtaki kutaka ilipwe asilimia kumi tena ya pauni milini 198, baada ya Neymar kuhamia PSG ya Ufaransa.

 

Messi alitupia picha hiyo wakiwa pamoja wenye furaha kusherekea siku ya kuzaliwa ya Davi Lucca, na kusema “Hes is back”, yaani amerejea.

 

Neymar alisajiliwa na Paris Saint-Germain ya Ufaransa kwa dau la pauni 198 milioni, na kaovunja rekodi ya dunia akitokea Barcelona ya nchini Hispania mwishoni wa mwezi Julai mwaka huu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu