Ngeleja, Nape Nnauye, Juma Nkamia wateuliwa.

In Kitaifa

Mbunge wa jimbo la Sengerema kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Wiliam Ngeleja ameteuliwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii kwenye kamati ya kudumu ya Bunge ya kipindi cha 2018 hadi 2020.

Tokeo la picha la wiliam ngeleja

Wiliam Ngeleja

Wabunge wengine waliyoteuliwa kwenye kamati hiyo ni Mhe. Nape Nnauye mbunge wa Mtama, Andrew Chenge, Hawa Ghasia na wengineo,soma zaidi kwenye orodha ya wabunge wote waliyoteuliwa kwenye kamati hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu