Yahaya kutimkia kwao usiku wa Leo.

In Kitaifa, Michezo

Yahaya Mohamed kuondoka rasmi usiku wa leo kwa flyrwndair kurejea kwao ghana baada ya kuachana na Azam fc

Nafasi ya Yahaya itajazwa na mchezaji atakayependekezwa na benchi la ufundi kuelekea dirisha dogo la usajili, linalotarajia kuanza Novemba 15 kwenye ligi kuu ya Tanzania bara.

Kwa mujibu wa Afisa habari wa Azam Jafari Idd amesema wanafanya hivyo ili kuimarisha kikosi cha Azam Fc.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu