Nicki Minaj kufunga ndoa na mpenzi wake mpya.

In Burudani

Ndoa ya msanii maarufu wa muziki nchini Marekani, Nicki Minaj na mchumba wake Kenneth Petty imeanza kufukuta kwani tayari Nicki Minaj ameonesha kila dalili kuwa wawili hao kwa sasa wanasubiri muda tu wafunge ndoa.

 

 

Tayari Nicki Minaj ameonesha dalili hizo kwa kuanza kubadilisha jina lake kwenye ukurasa wake wa Twitter na kujiita Mrs. Petty, Kitendo cha kubadili jina lake, Kimeleta maswali mengi kwa mashabiki wake wengi wakiamini kuwa tayari wawili hao wamefunga ndoa kimya kimya.

Wiki iliyopita wawili hao walipata kibali cha kufunga ndoa ndani ya miezi mitatu, Taarifa ambazo Nicki Minaj mwenyewe alizithibitisha kwenye mahojiano yake na Podcast ya   Joe Budden.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu