Omarion adata na lugha ya Kiswahili.

In Burudani, Kitaifa

Msanii wa muziki kutoka Marekani, Omarion ambaye ameshirikishwa na Diamond kwenye wimbo wa ‘African beauty’ ambao unapatikana kwenye albamu ya A Boy From Tandale, ameibuka kuzunugumzia wimbo huo kwa mara ya kwanza tangu ulipoachiwa rasmi mitandaoni.

Omarion ametumia mtandao wa Instagram ameonyesha kufurahishwa na wimbo huo hasa kwenye sehemu ambazo aliimba kwa lugha ya kiswahili.

Kupitia mtandao huo, Omarion ameandika:

Penzi ntalipamba ngonjera,huba kama tanga segera,kwa viuno ka baikoko kutoka manzabay,picha twazitwanga kisela,post insta wanga kuwakera. ^!FUN FACT^! Micheal Jackson sung Swahili on “Liberian girl” & “wanna be start’n somethin”. What a pleasure I have continuing the work of my musical forefather M.J. connecting our understanding of one another thru culture & language. It’s all love! @diamondplatnumz – African beauty.
I’m around the globe with this!! 🌍.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu