Paul Bukaba mchezaji bora dhidi ya Mtibwa Sugar.

In Kitaifa, Michezo

Klabu ya Simba yamtangaza, Paul Bukaba kuwa mchezaji bora wa mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar uliyopigwa hapo jana kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro na kuibuka na ushindi wa bao 1 – 0.

Mchezaji bora wa mechi ndani ya klabu ya Simba hupatikana mara baada ya kupatikana kwa kura zilizopigwa na mashabiki kupitia kurasa mbali mbali za kijamii.

Bukaba amekuwa mchezaji bora wa mchezo huo dhidi ya Mtibwa Sugar baada ya kuonesha mchango mkubwa hapo jana.

Kwa mujibu wa kura zilizopigwa na mashabiki kupitia kurasa za mitandao ya kijamii za klabu hiyo, Bukaba alishinda tuzo hiyo baada ya kuonesha mchango mzuri kwenye mchezo huo wa jana.

Simba SC sasa imezidi kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi kuu soka Tanzania Bara baada ya kujikusanyia jumla ya pointi 52  wakati watani wao wajadi Yanga SC wakiwa na alama 46.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu