Peter Crouch aingia kwenye kitabu cha rekodi za dunia.

In Kimataifa, Michezo

Mshambuliaji wa klabu ya Stoke ya Uingereza Peter Crouch, ameingizwa kwenye kitambu cha rekodi za dunia cha Guinness World Records cha mwaka 2018 kwa kufunga mabao mengi zaidi kwa kichwa Ligi ya Uingereza.

Crouch amefunga mabao 51 kwa kichwa katika ligi hiyo, mabao matano zaidi ya mshambuliaji wa zamani wa Blackburn na Newcastle Alan Shearer.

Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 36 amefunga jumla ya mabao 105 katika ligi kuu ya Uingereza katika mechi 436 alizochezea jumla ya klabu sita ligi hiyo.

Crouch alifunga bao la ushindi mechi ya karibuni zaidi ya Stoke walipocheza dhidi ya Southampton katika ligi kuu ya Uingereza.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu