Picha: Joh Makini na Davido Wakamilisha Video ya Collabo yao

In Burudani

Habari nzuri ni kwamba Mwamba wa Kaskazini Joh Makini na Staa wa Nigeria Davido wamemaliza Ku-shut Video ya Wimbo wao wa Pamoja.

Joh Makini na Davido wakiwa On Set na Warembo

Wakati Joh Makini akiendelea na Utaratibu wake wa Kutoongea Kitu kabla hakijawa Tayari, Davido yeye ameshindwa kuvumilia na Kutuvujishia Habari hii kupitia Account yake ya Instagram yenye Wafuasi Milioni 3 na Laki 8.

Davido amepost Picha hii hapa Chini na Kutupa taarifa kamili kwenye Caption kwamba Video hiyo imefanyiwa huko Jijini Johannesburg Nchini Afrika ya Kusini.

HII HAPA NDIYO PICHA ALIYOPOST DAVIDO NA JOH MKINI AKAI-REPOST

 

Back to work !! On set ? shoot @johmakinitz ft Davido ….. TZ ?? x NAIJA ?? !!

A post shared by Davido Adeleke (@davidoofficial) on

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu