Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akitoa salamumza WanaArusha jana wakati wa kufikia kileleni kwa maadhimisho ya Nane nane.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghwira alipata nafasi ya kutoa salamu za Wanakilimanjaro sambamba na kumkaribisha Mgeni rasmi.
Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenister Mhagama ameyafunga Maonyesho ya Nanenane yaliyofikia kilele jana Jijini Arusha.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti akitoa shukrani kwa Waziri Jenister Mhagama baada ya Kufunga rasmi Maonyesho ya Nanenane.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Moshi Vijijini Kilawila akipokea zawadi ya kufanya vizuri kwa Halmashauri yake.