PICHA:Waziri wa Sera na Bunge, Jenister Mhagama alivyofunga Maonyesho ya Nanenane Arusha.

In Kitaifa

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akitoa salamumza WanaArusha jana wakati wa kufikia kileleni kwa maadhimisho ya Nane nane.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghwira alipata nafasi ya kutoa salamu za Wanakilimanjaro sambamba na kumkaribisha Mgeni rasmi.

Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenister Mhagama ameyafunga Maonyesho ya Nanenane yaliyofikia kilele jana Jijini Arusha.

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti akitoa shukrani kwa Waziri Jenister Mhagama baada ya Kufunga rasmi Maonyesho ya Nanenane.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Moshi Vijijini Kilawila akipokea zawadi ya kufanya vizuri kwa Halmashauri yake.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu