Polisi wa Ufaransa wamemfyatulia risasi na kumjeruhi mtu mmoja mjini Paris, ambaye alimshambulia afisa wa polisi kwa kutumia nyundo.

In Kimataifa

Polisi wa Ufaransa wamemfyatulia risasi na kumjeruhi mtu mmoja mjini Paris, ambaye alimshambulia afisa wa polisi kwa kutumia nyundo.

Tukio hilo limeripotiwa kufanyika nje kidogo ya kanisa kuu la Notre Dame nchini humo.

Kufuatia tukio hilo kanisa hilo lilidhibitiwa kwa muda, na hakuna mtu aliyeruhusiwa kuingia ndani au kutoka nje kwa kipindi cha saa moja.

Ufaransa ipo katika hali ya hatari, kufuatia msururu wa mashambulizi ya kigaidi katika miaka ya hivi karibuni

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu