Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe na Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa wamezindua kitabu chenye taarifa za watumiaji wa huduma za mawasiliano.
Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa kituo cha mikutano cha kimataifa cha Mwl Nyerere jijini Dar es Salaam.