PSG yapigwa na Madrid mbele ya mashabiki wao

In Kimataifa, Michezo

Klabu ya PSG Jana usiku imekubali kipigo cha goli 2-1 dhidi ya Real Madrid.

Magoli ya Madrid yamefungwa na Cristiano Ronaldo na Casemiro huku goli la kufuta machozi la PSG likifungwa na Cavani.

Kwa matokeo hayo Real Madrid imefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la klabu bingwa barani Ulaya kwa jumla ya goli 5-2.

Matokeo mengine ni Liverpool wamelazimishwa sare ya kutokufungana na FC Porto ya Ureno.

Liverpool imefuzu kwenda robo fainali ya michuano hiyo kwa jumla ya goli 5-0

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu