R.Kelly kuhukumiwa miaka 195 jela.

In Burudani, Kimataifa

Gwiji wa muziki wa miondoko ya RnB R.Kelly huwenda akahukumiwa kifungo cha miaka 195 Jela kwa makosa 13 ya kesi za kingono zinazomkabili.

Gwiji huyo alipandishwa kizimbani siku ya Jana Agosti 4, 2019 katika Mahakama ya Brooklyn ili aweze kufanya utetezi wa kesi hizo zinazomkabili zikiwemo kunyanyasa, kuzalilisha, na kushambulia kingono Wanawake pamoja na kurekodi watoto wadogo kanda za ngono.

Baada ya kupandishwa kizimbani siku ya Jana mahakama iliahirisha kesi hiyo na waendesha mashtaka wa kesi hiyo wamesema, Gwiji huyo atarudishwa tena Mahakamani September 14, kama akikutwa na hatia atapata adhabu ya kifungo cha miaka 195 jela.

R.Kelly amenyimwa dhamana na amerudishwa mahabusu huku Wanasheria wake wakisema mteja wao amenyimwa haki ya msingi ya kupatiwa dhamana.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu