Rais Dkt. Magufuli azindua daraja la furahisha.

In Kitaifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, yupo mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi ya siku 2.


Leo Rais Magufuli ameianza ziara hiyo kwa kuongoza sherehe za ufunguzi wa daraja la waenda kwa miguu la Furahisha,lilipo katia wilayani ya Ilemela mkoani humo.
Katika hotuba yake rais Magufuli amezunmgumzia miradi mingine mikubwa inayofanyika mkoani humo, na kuwataka wakazi wa Mwanza kuhakikisha wanalitunza daraja hilo.

Pia Rais magufuli amewathibitishia wakazi wa mwanza kuwa, chini ya uongozi wake yaliyoshindikana lazima yawezekane, likiwepo la kuupanua uwanja wa ndege wa Mwanza.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu