Rais Magufuli afanya uteuzi mwingine.

In Kitaifa

Leo January 8 kutoka Ikulu jijini Dar Es Salaam Rais Magufuli amefanya mabadiliko madogo ya mawaziri, lengo likiwa ni kutaka kuleta maendeleo kwa uharaka na kufanya kazi kwa ufanisi zaidi.

Akizungumza mbele ya wanahabari Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi amesema kuwa, Rais Magufuli amemteua Mh Dotto kuwa waziri kamili wa madini na kumuhamisha Mh Angela Kairuki kwenda ofisi ya waziri mkuu na kushika kitengo cha uwekezaji, lakini pia Balozi Kijazi amesema Rais Magufuli amefungua ubalozi nchini Cuba.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu