RAIS MAGUFULI AMPA MAAGIZO MAZITO WAZIRI WA MADINI.

In Kitaifa

Rais John Magufuli amemwagiza Waziri wa Madini, Dotto Biteko kuanzisha vituo vya madini kwenye maeneo yanayozalisha migodi nchini.
Ametoa maagizo hayo baada ya kuwaapisha viongozi wapya wa serikali mapema leo Jumatano, Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais Magufuli ameeleza kuwa maagizo hayo
analenga kudhibiti madini yanayoibwa na kupelekwa nje ya nchi nchi kushindwa kunufaika ipasavyo.
“Sekta ya madini bado ina changamoto kubwa, japokuwa Tanzania tunaongoza kwa kuwa na dhahabu nyingi, bado sio nchi kwenye ukanda wa Afrika Mashariki ambayo
inaongoza kwa kuuza dhahabu nje,” alisema.
Rais Magufuli aliagiza pia Waziri Biteko kushirikiana na Benki Kuu (BOT) kuweka mkakati utakaowezesha nchi kuanza kununua dhahabu na kuitunza. “Tanzania lazima
isimame, hatuwezi kuendelea kuibiwa dhahabu, lazima tutunze dhahabu yetu, itatufaa hata shilingi yetu ikishuka,” aliongeza.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu