Rais Magufuli amtaka Waziri wa Nishati na Madini kuachia ngazi.

In Kitaifa

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amemtaka Waziri wa Nishati na Madini Prof.Sospeter Muhongo, ajithamini na achie ngazi kwa kushindwa kusimamia wizara yake ya Nishati na Madini

Pia Rais Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa mamlaka ya TMAA pamoja na kuivunja bodi hiyo na kutaka vyombo vya ulinzi na usalama kuwachunguza wafanyakazi wa wizara ya Nishati na Madini kuangalia kama wanahusika katika kuwafumbia macho katika usafirishwaji wa mchanga huo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu