Rais Mgufuli kuzindua bomba la Mfuta Agosti 5, 2017

In Kitaifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli anawasili Mkoani Tanga leo Agosti 3, 2017 kwa ajili ya uzinduzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda  hadi  Bandari ya Tanga  nchini Tanzania.

Mara baada ya kuwasili Mheshimiwa  Raisi alimpa fursa Diwani wa Kata ya Msata kueleza changamoto ikiwamo kero ya Maji ambayo ni kero kubwa kwa Wananchi hao.

Kata hivyo diwani huyo amemweleza Mheshimiwa Raisi Magufuli kuwa  hospitali ya Wilaya ambayo imetengewa kiasi cha shilingi  Milioni  500,bado haijaendelea mpaka sasa hali ambayo inawapelekea wananchi kutafuta huduma za afya maeneo mengine kutokana na Uhaba wa Fedha kutoka Serikali.

Aidha raisi Magufuli amewashukuru wananchi kwa kumpigia kura nyingi na kusema kuwa Wameanza kufanyia  Ahadi  alizoahidi ikiwa ni Pamoja na Maji,Umeme Vijijini ambao umekwishafanikiwa na kuahidi suala la maji litakuwa historia katika eneo hilo.

Uzinduzi huo unatarajiwa  kutafanyika Agosti 5, 2017.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu