Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amezindua maadhimisho ya miaka 10 tangu Burundi ijiunge na Umoja wa Afrika Mashariki EAC

In Kimataifa

Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amezindua maadhimisho ya miaka 10 tangu Burundi ijiunge na Umoja wa Afrika Mashariki EAC, na kuahidi kuihimiza nchi yake ifungamane zaidi na umoja huo.

Jumuiya hiyo inayoundwa na nchi 6 yaani Burundi, Kenya, Rwanda, Tanzania, Sudan Kusini na Uganda, bado haijatimiza muungano wa kifedha na shirikisho la kisiasa ambayo ni hatua ya mwisho ya mafungamano ya umoja huo.

Rais Nkurunziza amesema Burundi inatakiwa kusawazisha sheria zake hasa zile za usimamizi wa kodi na kanda hiyo ili isiwe vizuizi kwenye mchakato wa kutimiza mafungamano kamili ya umoja huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu