Rais Samia atoa milioni 100 soko la machinga Complex

In Kitaifa

Kufuatia janga la kuungua moto soko kuu la Kariakoo wafanyabishara waliokuwa wakifanya biashara katika soko kuu la Kariakoo kuhamia katika masoko mengine kama Kisutu,Machinga Complex na mengine na jana ulimskia Mkuu wa Mkoa wa DSM baada ya kutembelea soko hilo na kusema wafanyabiashara waliokuwa Kariakoo kutolipa ushuru kwa miezi miwili na hicho ndicho kifuta machozi kwao.

Sasa leo Rais Samia Suluhu Hassan ametoa milioni 100 soko la machinga Complex kwa ajili kuhakikisha wafanyabiashara wanafanya biashara zao katika sehemu nzuri wakiwemo na wale waliotoka Kariakoo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu