Rais wa CAF akutana na Paul Kagame.

In Kimataifa

Rais wa Shirikisho la soka barani Afrika (CAF), Ahmad Ahmad amekutana na rais wa Rwanda, Paul Kagame siku ya Jumatatu ya Mach 12 huko Kigali ikiwa ni ziara yake ya siku tatu kwa nchi ya Afrika Mashariki.

Rais huyo wa CAF, Ahmad na mwenyeji wake, Paul Kagame wamezungumzia mambo mbalimbali yakiwemo maswala ya maendeleo ya kukuza soka la vijana katika bara la Afrika hasa kipindi hiki ambacho nchi ya Morocco ikiwa katika jitihada za kuandaa kombe la dunia mwaka 2026.

Rais Kagame ambaye amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa umoja wa Afrika katika mkutano wake wa 30 uliyohitimishwa huko Addis Ababa, nchini Ethiopia ameahidi kutumia nafasi hiyo kusaidia maendeleo na kukuza soka la Afrika.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu