Rais wa Urusi Vladimir Putin jana amekutana na rais mpya wa Ufaransa Emmanuel Macron, katika kile kinachoonekana kuwa ni hatua muhimu ya kuuweka vizuri uhusiano wao.

In Kimataifa

Rais wa Urusi Vladimir Putin jana amekutana na rais mpya wa Ufaransa Emmanuel Macron, katika kile kinachoonekana kuwa ni hatua muhimu ya kuuweka vizuri uhusiano wao.

Viongozi hao wanatarajiwa kujadili uhusiano kati ya nchi hizo, hususan biashara na ushirikiano, katika mapambano dhidi ya ugaidi.

Balozi wa Urusi nchini Ufaransa Alexander Orlov, amesema mkutano wa rais Macron na Putin,ni muhimu kwa mataifa hayo.

Viongozi hao pia wanatarajiwa leo kuhudhuria ufunguzi wa maonesho ya Versailles, ya kuadhimisha miaka 300 ya ziara ya mfalme Peter wa Urusi alipozuru Ufaransa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu