Real Madrid wakwea pipa kuifuata Bayern Munich

In Michezo

Kikosi cha Real Madrid kikiwa na nyota wake Cristiano Ronaldo kimekwea pipa hii leo siku Jumanne kuelekea Munich kwaajili ya mchezo wake wa klabu bingwa barani Ulaya.

Vijana hao wa Zinedine Zidane watawakabili Bayern Munich kwenye mchezo wa nusu fainali ya klabu bingwa barani Ulaya unaotarajiwa kupigwa hapo kesho siku ya Jumatano.

The trio pose on board the plane shortly ahead of their flight to Munich on Tuesday morning 

Ronaldo akiwaongoza wachezaji wenzake wameonekana wakiwa wamevalia ‘suite’ nyakati za asubuhi wakielekea ndani ya ndege tayari kutua Ujerumani.

Zinedine Zidane akiwa na kikosi cha wachezaji 24 wameelekea Allianz Arena wakiwa sambamba na rais wao, Florentino Perez.
Real Madrid have flown to face Bayern Munich, who were busy training on Tuesday morning
Wakati Real Madrid ikikwea pipa, wapinzani wao timu ya Bayern Munich asubuhi ya leo imekuwa bize na mazoezi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu