Polisi Uganda wamesema kuwa miongoni mwa sababu za kuuzuia Mkutano wa Bobi Wine leo ni kwasababu ulipangwa kufanyika eneo la wazi wakati Mikutano ya namna hiyo hufanyika ndani ili kutowasumbua Watu, wamedai pia hakukuwa na vyoo vya kutosha kwa ajili ya waliotarajiwa kuhudhuria Mkutano.