Sababu za Polisi kumkamata Bobi Wine Hizi hapa

In Kimataifa

Polisi Uganda wamesema kuwa miongoni mwa sababu za kuuzuia Mkutano wa Bobi Wine leo ni kwasababu ulipangwa kufanyika eneo la wazi wakati Mikutano ya namna hiyo hufanyika ndani ili kutowasumbua Watu, wamedai pia hakukuwa na vyoo vya kutosha kwa ajili ya waliotarajiwa kuhudhuria Mkutano.

Radio5fmTheOnlyChoice

Tumekufikia

SisiNdiyoChoiceYenyewe

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu