Rappa kutoka pande za Jamaica #SafareeSamwel na mpenzi wake #EricaMena wamejaliwa kupata mtoto wa kike usiku wa kuamkia leo.
Huyu anakuwa mtoto wa kwanza kwa rappa huyo ambaye tayari amethibithisha taarifa hizi katika mtandao wake wa kijamii akivunia kuitwa Baba.
Safaree ameandika “These 24hrs have been an adventure to say the least!!! I’m part of #girldad club now, Perfection is here”. .
Ikumbukwe kuwa #Safaree aliwahi kuwa katika mahusiano na mwanamziki #NickMinaj na yawezekana ikiwa yeye ni moja kati ya watu ambao walidumu kwa muda mrefu na mrembo huyo lakini baadae ndio wakaja kuachana.
Safaree na Mena walianza mahusiano yao mwaka 2018 hadi 2019 walipooana rasmi na sasa Mungu amewabariki kwa kuwapatia mtoto wa kike.