Samatta na Omar Colley waenda Macca kuhiji.

In Michezo

Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania anayecheza club ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ameamua kwenda Saudi Arabia Macca kuhiji.

Mbwana Samatta kupitia ukurasa wake wa instagram akiwa na mchezaji mwenzake raia wa Gambia ambao wanacheza wote katika club ya KRC Genk Omar Colley wamepost picha wakiwa pamoja katika ibada ya umrah.

Omar Colley na Samatta

Kitendo hicho Samatta na Colley kwenda hija anaungana na mastaa wengine wa soka dunia ambao pia wamewahi kwenda Macca kuhiji na kufanya ibada ya umrah kama Mesut Ozil wa Arsenal na Paul Pogba wa Man United ambao nao ni waumini wa dini ya kiislam.

Omar Colley na Samatta

Mesut Ozil

Paul Pogba

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu