SEE WAY yamwaga Milioni 90 Arumeru.

In Kitaifa

Zaidi ya shilingi milioni tisini 90 zimetolewa na shirika lisilo la kiserikali nchini Marekani SEE WAY kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 na ukarabati wa matundu 16 ya vyoo katika shule ya msingi Embasenyi iliyopo Wilaya ya Arumeru Mashariki Mkoani Arusha.

Akizungumza na vyombo vya habari mapema leo Diwani wa kata hiyo mh. Gadiel Mwanda amesema ujenzi huo ulianza mwaka 2018 ambapo lengo lilikuwa ni kuondoa changamoto ya wanafunzi wengi kwenye darasa moja ikiwa ni pamoja na umbali mrefu kwa wanafunzi hao

Amewataka Wazazi na walezi wa kata ya Embasenyi kushirikiana na Walimu ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watoto wao kusoma kwa bidiii ili waweze kufikia malengo yao ya badae.

Hata hivyo amesema kuwa miradi mbalimbali itaendelea kuimarishwa ndani ya kata hiyo lengo likiwa ni kuleta maendeleo kwa wananchi na kupunguza changamoto ya ajira kwa vijana.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu