Serikali Kutatua matatizo ya Wafugaji

In Kitaifa

Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amewata watafiti nchini kuhakikisha kuwa tafiti zinazofanywa zinawasaidia wafugaji wanaoishi Vijijini badala ya kuwanufaisha wao binafsi.

Serikali imesema kuwa itatafuta Majibu ya Matatizo ya Wafugaji,Wakulima na Wavuvi wetu.”Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu