Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amewata watafiti nchini kuhakikisha kuwa tafiti zinazofanywa zinawasaidia wafugaji wanaoishi Vijijini badala ya kuwanufaisha wao binafsi.
Serikali imesema kuwa itatafuta Majibu ya Matatizo ya Wafugaji,Wakulima na Wavuvi wetu.”Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega