Serikali ya Venezuela yakabiliwa na vifo vya watoto na kina Mama.

In Kimataifa

Serikali ya Venezuela imesema kuwa,nchi hiyo inakabiliwa na ongezeko kubwa la vifo vya watoto na akina mama.
Wizara ya Afya imesema idadi ya wanawake wanaofariki wakati wa kujifungua imeongezeka kwa asilimia 65, na idadi ya watoto wanaofariki wanapozaliwa imefikia asilimia 30.
Imeelezwa pia kuwa kumekuwa na ongezeko la magoinjwa ya malaria na Donda koo.
Venezuela imekuwa ikikabiliwa na uhaba mkubwa wa takriban dawa zote, katika vitengo vyake vya Afya.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu