Serikali yamwaga zaidi Bilioni 2.8 kujenga shule ya watu wenye Mahitaji maalum.

In Kitaifa

Zaidi ya shilingi bilion 2.8 zimetolewa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa shule ya secondary ya elimu maalumu katika eneo la chuo cha Pandandi kilichopo Tengeru wilaya ya Arumeru mkoani Arusha

Akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ya miundombinu wilayani Arumeru Mkuu wa wilaya hiyo Mh, Jery Muro amesema kuwa fursa hiyo ni ya kwanza hapa nchini ambapo italeta manufaa kwa watu wenye mahitaji maalumu
Amesema kuwa licha ya kusaidia kitaleta kielelezo cha kuhakikisha watoto wenye ulemavu watapewa mtazamo mpya wa elimu kwa kuokoa watoto wenye changamoto na mahitaji maalumu kutoka sehemu mbalimbali
insert gambo,,,,,
Aidha ameseama kila mwezi serikali inatoa bilioni 23 kwa wastani kwa ajili ya ujenzi wa elimu na kugharamia sera ya elimu bure hapa nchini
Kwa upande wake Mkuu wa shule ya mahitaji maalumu Patandi Mwl. Janeth Molel ameipongeza serikali kwa juhudi kubwa za kuwajali watu wenye mahitaji maalumu hasa kupitia elimu kwani hii itasaidia kupunguza ongezeko la watoto wa mtaani na hatiamye kufikia malengo ya Tanzania ya viwanda
Amsesema kuwa,kwa sasa yamekamilika madarasa manane 8 na itachukua wanafunzi wenye mahitaji maalumu ambapo tayari wameshapata waalimu 5 kwa ajili ya kuanza kutoa elimu hiyo ambayo itakuwa shule ya mfano hapa Tanzania

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu