Sina tatizo na Alikiba-Nay wa Mitego.

In Burudani, Kitaifa

Msanii wa muziki Bongo, Nay wa Mitego amesema hana beef na Alikiba na wala hana timu yoyote katika muziki.

Nay ambaye anafanya vizuri na ngoma ‘Mikono Juu’ ameiambia The Playlist ya Times Fm kuwa yeye na Alikiba hawana tatizo lolote na walishafanya hadi wimbo ila haukutoka

“Sina tatizo na Alikiba utimu wao haunihusu, mimi mwenye nina timu True Boy,” amesema Nay wa Mitego.

“Watu hawajui tu, nilishawahi kufanya ngoma na Alikiba, kitambo sana kabla sijawa mkubwa kiasi hiki, haikutoka kabisa, nakumbuka kipindi hicho hata Alikiba hakuwa Alikiba huyu alikuwa Alikiba wa Cinderela mimi nilikuwa nimetoa wimbo unaitwa Itafahamika,” amesisitiza.

Sababu ya wengi kuamini kuwa Nay wa Mitego hana maeleweno mazuri na Alikiba ni kutokana kipindi cha nyuma alikuwa karibu sana Diamond hadi kupelekea kufanya kolabo mbili ‘Muziki Gani, Mapenzi Pesa’, hivyo wengi kuamini yeye ni timu Diamond.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu