Spika Ngugai amjibu Godbless Lema.

In Kitaifa

 

 

Spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania Job Ndugai, ametoa ufafanuzi juu ya kauli ya mbunge Godbless Lema aliyoitoa akiwa jijini Nairobi.

Akiwa jijini Nairobi Godbles Lema alizungumzia maswala mbali mbali, likiwemo la spika kumuita mbunge Saidi kubenea katika kamati ya ulinzi na usalama ya bunge akisema ni sababu za mapenzi.

Pia Godbless Lema alitaka Bunge kusimama kwa muda kwa maana ya kuarishwa, baada ya tukio la mbunge Tundu lissu kupigwa risasi.

Lakini pia Spika ndugai ametolea ufafanuzi swala lililozungumzwa na Lema, kuwa serikali na bunge haijatoa mchango wowote kwenye matibabu ya Tundu lissu.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu