Sweden yaichapa Korea Kusini Bao 1-0.

In Michezo

Sweden imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Korea Kusini katika mechi ya Kundi H hatua ya makundi katika Kombe la Dunia.

Sweden ilipata bao lake kwa mkwaju wa penalti baada ya  beki wa Korea Kusini kufanya madhambi eneo la hatari na kumlazimisha mwamuzi kutumia mfumo wa VAR kupata uhakika.
Mlinzi na nahodha wa Sweden Andreas Granqvist ndiye aliyechukua jukumu la kupiga mkwaju huo na kuukwamisha wavuni.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu