Taka amepiga marufuku hoteli zote kubwa za kitalii kuuza bidhaa za kitamaduni

In Kitaifa

Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mh Rashid Taka amepiga marufuku hotel zote kubwa za kitalii kuuza bidhaa za
kitamaduni kwani kuendelea kuuza bidhaa hizo ni kuwanyima fursa wenyeji kufanya biashara hizo za kitamaduni na hivyo kutoa miezi 4 mpaka kufikia tarehe 30 juni wawe wamemaliza kuuza bidhaa za kitamaduni zilizopo kwenye hoteli zao au kuzirudisha katika maboma ya kitamaduni (cultural tourism) .

Ametaka bidhaa hizo za kitamaduni ziwe zinauzwa katika maboma ya kitamaduni ili kulinda na kutunza utamaduni wa wenyeji badala ya kuwaibia ujuzi na ubunifu wao.

Ametoa katazo /agizo hilo wakati wa ugawaji wa mifugo 624 walipatikana kupitia boma la utalii wa kitamaduni la Ndemwa lililopo katika kata ya Olbalbal Wilaya ya Ngorongoro.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu