Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo uchumi wake unakua kwa kasi kubwa mpaka kupelekea viongozi mbalimbali wa taasisi kubwa duniani kuja nchini kwa ajili ya kujione na kutaka kujua mengi zaidi

In Kitaifa

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo uchumi wake unakua kwa kasi kubwa mpaka kupelekea viongozi mbalimbali wa taasisi kubwa duniani kuja nchini kwa ajili ya kujione na kutaka kujua mengi zaidi.

Hali hiyo imedhihirika mara baada ya Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Tao Zhang  kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip  Mpango pamoja na maafisa wengine waandamizi wa Serikali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa  Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.

Aidha, akiwa nchini, Tao Zhang atafanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli Ikulu Jijini Dar Es Salaam kwa ajili ya kuona ni namna gani Tanzania na IMF zinashirikiana katika kuimarisha uchumi.

Hata hivyo, Zhang atawasilisha mtazamo wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa wadau hapa nchini kwa lengo la kuifanya Tanzania kuwa na maendeleo endelevu, kuimarisha uchumi mkubwa (Macroeconomy) na kuwa na uchumi shirikishi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu