TANZIA:TAARIFA YA KIFO.

In Kitaifa
Familia ya Bwana Fredrick Mlaki  inasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa bwana Fredrick Andrea Mlaki kilichotokea mnamo tarehe 16/08/2019 katika hospitali ya Muhimbili DSM
Mzee Frederick Andrea Mlaki ni mume wa Bi. Elipina Mlaki, ameacha Mke, watoto na wajukuu.
 
Habari ziwafikie ukoo wote wa Mlaki walioko Mwika, Ugweno, Majengo na Monduli, Ukoo wote wa Kisamo wa Usangi, ukoo wote wa Shao wa Mwika na ndugu wote na jamaa wa marehemu.
 
Ibada ya kuaga itafanyika siku ya Jumanne 20/08/2019 katika kabisa la Azania Front saa saba mchana na baada ya hapo kusafiri kwaajili ya mazishi Mwika, Moshi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu