Tetesi za soka Ulaya.

In Kimataifa, Michezo

Klabu ya AC Milan inasaka saini ya winga wa Crystal Palace
Wilfried Zaha mwezi Januari na inaamini kwamba mchezaji hyo
mwenye umri wa miaka 28 wa Ivory Coast anaweza kuwasaidia
kupata taji la kwanza la Serie A katika kipindi cha miaka 10.
(Sun)
Milan pia ina matumaini ya kuafikiana mkataba wa kumzuia
kipa wa Itali mwenye umri wa miaka 21 Gianluigi Donnarumma
katika klabu hiyo. (Corriere Della Sera – in Italian)
Mshambuliaji wa Uhispania Diego Costa, 32, ameambia klabu
ya Atletico Madrid anataka kandarasi yake kufutwa na

kuondoka katika klabu hiyo katika dirisha la uhamisho la
mwezi. (Goal)
Arsenal inafikiria kufanya uhamisho wa ghafla wa
mshambulikaji huyo wa zamani wa Chelsea , huku Gunners
wakiwa na mpango wa kuongeza mshambuliaji mwengine. (AS
via Express)
Iwapo Costa atajiunga na wapinzani wao wakuu katika ligi ya
La liga Real Madrid, Barcelona au Sevilla, timu yake mpya
italazimika kulipa £22.7m. (El Mundo)

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu