Toni Braxton athibitisha kuvalishwa pete na Birdman.

In Burudani, Kimataifa, Mahusiano

Baada ya penzi lao kuwa la siri kwa muda mrefu, hatimaye mwanamuziki Toni Braxton(50) amethibitisha kuveshwa pete ya uchumba na Birdman(49).

Mrembo huyo wa Birdman amesema hayo kupitia kionjo cha kipindi chake cha television cha ‘Braxton Family Values’. “I have an announcement to make. I’m engaged!,” amesema Toni.

Toni na Birdman waliripotiwa kuwa na mahusiano tangu mwaka 2016 baada ya kukutana kwenye kazi ya “Baby You Can Do It” mwaka 2002, Usiku wa tuzo za BET Awards 2016 wawili hao walijitokeza rasmi adharani na kukiri kuwa wapenzi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu